Ilisasishwa: 2026-01-10
Kwa kutumia tovuti/huduma zetu, unakubali masharti haya. Kama hukubaliani, tafadhali usitumie huduma.
Wewe unawajibika kulinda taarifa zako za ufikiaji. Usishirikishe password/OTP na mtu mwingine.
Msaada hupatikana kupitia WhatsApp/Email kama ilivyo kwenye portal. Tunajitahidi kujibu haraka, lakini muda unaweza kubadilika kulingana na wingi wa maombi.
Huduma hutolewa “as-is”. Tunaweza kufanya maboresho/maintenance bila taarifa ndefu, lakini tutajitahidi kupunguza usumbufu.
Tunaweza kusasisha masharti. Tarehe ya mwisho ya marekebisho itaonyeshwa juu.
Maswali: sam@sizoni.com au WhatsApp +255 713 055 107.